Uislamu nchini Zambia

Uislamu kwa nchi
Msikiti huko Lusaka

Ujio wa Uislamu nchini Zambia unarudi nyuma kabisa katika karne ya Hijri ya nne wakati Waislamu wanaanzisha imarati katika pwani ya Afrika Mashariki. Katika zama hizo wafanyabiasha wa Kiislamu walipanua biashara zao hadi maeneo ya ndani na kufikia Zambia katika zama za nasaba ya Omani Al Bu Said. Wafanyabiashara Waarabu waliingia Zambia kutoka katika makao yao makuu ya biashara katika pwani ya Tanzania, Malawi na Msumbiji. [1]

  1. http://mondediplo.com/1998/04/02africa

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne